Kama ulijipanga kufuatilia ziara ya Diamond na Ne-Yo ya nchini Uingereza mwezi Disemba mwaka huu basi jipange upya. Ziara hiyo imesogezwa mbele.
Kwa sasa ziara hiyo itaanza Machi 29 na kufikia mwisho April 8 ya mwakani. Awali ziara hiyo ilitarajiwa kuanza Jumatano ya Disemba 7 kwenye ukumbi wa Clasgow Barrowland na kufikia mwisho Disemba 14 ya mwaka huu.
Kupitia mtandao wa Instagram, Ne-Yo ameandika, “The December dates have been postponed! But don’t worry U.K. I’m still headed your way with NEW DATES and my bro @diamondplatnumz. 2017, let’s turn up! Tickets available at RoboMagicLive.com #NEYOUKLive.”
Naye meneja wa Diamond, Sallam kupitia mtandao huo ameandika, “UK New Dates…!! @neyo and @diamondplatnumz 😎.”
Kwa sasa ziara hiyo itaanza Machi 29 na kufikia mwisho April 8 ya mwakani. Awali ziara hiyo ilitarajiwa kuanza Jumatano ya Disemba 7 kwenye ukumbi wa Clasgow Barrowland na kufikia mwisho Disemba 14 ya mwaka huu.
Kupitia mtandao wa Instagram, Ne-Yo ameandika, “The December dates have been postponed! But don’t worry U.K. I’m still headed your way with NEW DATES and my bro @diamondplatnumz. 2017, let’s turn up! Tickets available at RoboMagicLive.com #NEYOUKLive.”
Naye meneja wa Diamond, Sallam kupitia mtandao huo ameandika, “UK New Dates…!! @neyo and @diamondplatnumz 😎.”
Ziara ya Uingereza ya Diamond na Ne-Yo yasogezwa mbele
Reviewed by Unknown
on
07:43
Rating:
![Ziara ya Uingereza ya Diamond na Ne-Yo yasogezwa mbele](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8Mm_a2TpWHPbKjoHgnOmL4AKz6boLYVgs7G79Iw8nlZeqVDklP9AMDXZBuWzCfM5728P-o3G7NXioWlmCBeLY7EQWvaYrU9k02q1Pecfs4d-4P3kED1_QugbgHDXvAB-K-_f1uZ3GChto/s72-c/%255BUNSET%255D.jpg)
No comments: